Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Mbona ham post ajira za kada ya records management watunza kumbu kumbu
Answers
1
Views
359
Swali langu ni TRA walisema Kuna barua tutatumiwa kupitia email tutazipataje maana tunapaswa kwenda nazo kwenye usahili
Answers
1
Views
320
Naomba maswali ya interview kwny data analyst, na ninatakiwa kujua vitu vipi kabla vinavyohusiana na data analyst
Answers
0
Views
271
ANNA ALEX
Wakuu, nauliza nawezaje pata barua kwaajili ya Usaili wa TRA!? Jina kwenye list nimeliona ila Sijapokea Barua yenye namba ya Usaili kwenye email yangu.
Answers
0
Views
223
Tonny1
Wanabodi habari za majukum. Napenda kuomba msaada wa maswali yaliyopita ya usaili wa TRA katika kada ya Civil Technician II .Kama itapendeza email yangu ni [email protected] Natanguliza...
Answers
4
Views
1K
Slim Ndago
Nilimaliza chuo toka 2016 nilitafuta sana ajira sikufanikiwa nikakata tamaa sasa hiv nataka nianze tena kuapply.vip wadau naweza kupata nina degree ya Computer Engineering
Answers
1
Views
435
Kastisma
Nilijiunga ajira portal mda kidogo ,lakini nilisahau email nilio tumia pamoja na password yake na Sasa nimejalibu kujiunga Tena ,lakin imeniandikia kwamba NID yangu imetumia tayari je ni fanye nn...
Answers
4
Views
767
Nataka kutuma maombi ya kazi ya police ila nashindwa kuingia kwenye mfumo
Answers
1
Views
354
Nataka unielekeze jinsi ya kutuma maombi ya kazi
Answers
1
Views
335
WITNESS NYANGAOH
What are HR tools and techniques
Answers
0
Views
198
Gifted Reuben
Back
Top Bottom