Msaada
Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano au Jinsi ya kuangalia selection za form six selection 2026 Tamisemi
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la Form Six Selection 2026 hapa
Je unaweza ona jina kwenye list ya waliochaguliwa na bado ukawa hujapokea email ya barua ya namba ya mtihan??
Msaada naweza pata notes za Customs nko kwenye usaili wa custom assistant II
1.Nimeweka elimu mfumo wa ajira wa police lakini education status inaandika pending.. je ni kwangu tu au ndo mfumo upo hivyo kwahiyo niendelee tu kutuma maombi..? 2. ukitumia search mode, mfumo...
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu...
Nmechaguliwa kwenye usaili wa tra lkn sijapokea email yenye number ya mtahiniwa kama walivosema kwenye tangazo LA usaili Kuwa Kuna email wametuma Sasa nlikuwa naomba msaada kwa hilo
Mbona ham post ajira za kada ya records management watunza kumbu kumbu
Swali langu ni TRA walisema Kuna barua tutatumiwa kupitia email tutazipataje maana tunapaswa kwenda nazo kwenye usahili
Naomba maswali ya interview kwny data analyst, na ninatakiwa kujua vitu vipi kabla vinavyohusiana na data analyst