Ajira za kilimo wametusahau sana sisi tangu mwezi wa sita mwakajana
Fatilia tu matangazo yanayotumwa mara kwa mara SUA mwaka jana walitangaza nafasi zaidi ya 1200 hukutuma maombi?Ajira za kilimo wametusahau sana sisi tangu mwezi wa sita mwakajana
sawa zile ni za mkataba,nazo zinaenda kwa awamu mi nazungumzia za serikalini tyulifanya application tangu mwaka jana mwezi wa sita mpaka saiz no feedback,,Fatilia tu matangazo yanayotumwa mara kwa mara SUA mwaka jana walitangaza nafasi zaidi ya 1200 hukutuma maombi?
Wataita tu subiria, si application status bado imeandikwa RECEIVED?sawa zile ni za mkataba,nazo zinaenda kwa awamu mi nazungumzia za serikalini tyulifanya application tangu mwaka jana mwezi wa sita mpaka saiz no feedback,,
NdiyooAjira za kilimo wametusahau sana sisi tangu mwezi wa sita mwakajana
D |
Ajira za abacus pharmacy
|
![]() |
Nafasi za Ajira Mbeya cement
|
![]() |
Ajira mpya DTB Bank Tanzania
|
D |
Kutoa cheti ajira portal
|
C |
Jinsi ya kujisajili ajira portal
|