Nafasi za Ajira Mbeya cement

Nafasi za Ajira Mbeya cement

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Tintmon

New member

Reputation: 1%
Joined
Dec 5, 2024
Messages
6
MBEYA CEMENT Imetanagza Nafasi za Ajira kwa:-

1.(LEARNING AND DEVELOPMENT COORDINAT) Mratibu wa mafunzo na maendeleo
2.(MAINTENANCE INSPECTOR) Mtaalamu wa ukaguzi na matengenezo

Awe na Degree au Diploma Respectively Waombaji wanaombwa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kupitia: [email protected] kwa kuonyesha nafasi wanayoomba kwenye sehemu ya mada ya barua pepe:
1.Barua ya Kuomba Ajira kwa nafasi husika;
2.Wasifu wa Maisha (CV);
3.Vyeti vya Kitaaluma

Tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maombi: Desemba 22, 2024.
1000015967.webp
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom