Ajira na Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi RNR Business Solution lililo tangazwa siku ya leo kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi.
Replies
0
Views
1K
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi YAS (tigo) Tanzania Bonyeza hapa kutuma maombi sasa
Replies
0
Views
3K
MABADILIKO YA ENEO LA KUFANYIA USAILI WA MAHOJIANO MWALIMU DARAJA LA IIIA MKOA WA DODOMA Waombaji kazi wote wa Kada ya MWALIMU DARAJA IIIA walioitwa kwenye usaili wa Mahojiano ya tarehe 21.01.2025...
Replies
0
Views
3K
Waombaji kazi wote wa Kada ya MWALIMU DARAJA IIIA walioitwa kwenye usaili wa Mahojiano ya tarehe 21.01.2025 Mkoa wa Tabora mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili wa...
Replies
0
Views
2K
Waombaji kazi wote wa Kada za ualimu walioitwa kwenye usailii Mkoa wa Shinyanga mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili. Usaili wa kuandika pamoja na usaili wa mahojiano...
Replies
0
Views
2K
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Jema Africa LTD kwa watanzania wote wenye nia, sifa na vigezo vyote vilivyo ainishwa katika tangazo hili.
Replies
0
Views
1K
HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MWALIMU DARAJA LA IIIA ULIOFANYIKA TAREHE 18/01/2025 Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote...
Replies
0
Views
13K
Kikosi cha SIMBA SC Vs CS CONSTANTINE Leo CAFCC Leo jijini Dar es Salaam, Tanzania, CS CONSTANTINE watajitahidi kulinda rekodi yao ya kutoshindwa katika mechi ya mwisho ya Kundi A kwenye Kombe la...
Replies
0
Views
440
Nafasi za Kazi EGPAF Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi kutoka shirika la EGPAF kwa Program Monitoring and Evaluation Officer kwa watanzania wote wenye nia na sifa waweze kutuma maombi kuanzia leo.
Replies
0
Views
3K
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Geita Gold Mining Ltd (GGML) ni mzalishaji mkubwa wa dhahabu nchini Tanzania akiwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu unaopatikana katika Mkoa wa Geita. Kampuni hii...
Replies
0
Views
3K
Back
Top Bottom