Ajira na Nafasi za kazi
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Nafasi za Kazi RNR Business Solution Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi RNR Business Solution lililo tangazwa siku ya leo kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi.
Nafasi za Kazi YAS (tigo) Tanzania Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi YAS (tigo) Tanzania Bonyeza hapa kutuma maombi sasa
MABADILIKO YA ENEO LA KUFANYIA USAILI WA MAHOJIANO MWALIMU DARAJA LA IIIA MKOA WA DODOMA Ajira Portal
MABADILIKO YA ENEO LA KUFANYIA USAILI WA MAHOJIANO MWALIMU DARAJA LA IIIA MKOA WA DODOMA Waombaji kazi wote wa Kada ya MWALIMU DARAJA IIIA walioitwa kwenye usaili wa Mahojiano ya tarehe 21.01.2025...
MABADILIKO YA ENEO LA KUFANYIA USAILI WA MAHOJIANO MWALIMU DARAJA LA IIIA MKOA WA TABORA Ajira Portal
Waombaji kazi wote wa Kada ya MWALIMU DARAJA IIIA walioitwa kwenye usaili wa Mahojiano ya tarehe 21.01.2025 Mkoa wa Tabora mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili wa...
MABADILIKO YA ENEO LA KUFANYIA USAILI MKOA WA SHINYANGA Interview ya Walimu
Waombaji kazi wote wa Kada za ualimu walioitwa kwenye usailii Mkoa wa Shinyanga mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya mahali pa kufanyia usaili. Usaili wa kuandika pamoja na usaili wa mahojiano...
Nafasi za Kazi Jema Africa LTD Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Jema Africa LTD kwa watanzania wote wenye nia, sifa na vigezo vyote vilivyo ainishwa katika tangazo hili.
HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA MWALIMU DARAJA LA IIIA ULIOFANYIKA TAREHE 18/01/2025 Wasailiwa wote waliochaguliwa (SELECTED) wanatakiwa kuzingatia muda na eneo la usaili. Wasailiwa wote...
Kikosi cha SIMBA SC Vs CS CONSTANTINE Leo CAFCC Tarehe 19/01/2025
Kikosi cha SIMBA SC Vs CS CONSTANTINE Leo CAFCC Leo jijini Dar es Salaam, Tanzania, CS CONSTANTINE watajitahidi kulinda rekodi yao ya kutoshindwa katika mechi ya mwisho ya Kundi A kwenye Kombe la...
Nafasi za Kazi EGPAF Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi kutoka shirika la EGPAF kwa Program Monitoring and Evaluation Officer kwa watanzania wote wenye nia na sifa waweze kutuma maombi kuanzia leo.
Nafasi za Kazi Geita Gold Mining Ltd (GGML) Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi Geita Gold Mining Ltd (GGML) ni mzalishaji mkubwa wa dhahabu nchini Tanzania akiwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu unaopatikana katika Mkoa wa Geita. Kampuni hii...