Ajira na Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Tunayo furaha kushiriki nawe maarifa ya maswali yanayoulizwa mara nyingi kwenye usaili na jinsi ya kuyajibu kama mtaalamu. Kuanzia, "Niambie kuhusu wewe mwenyewe" hadi "Una maswali yoyote kwangu?"...
Replies
0
Views
5K
Nafasi za kazi Aga Khan Foundation Mratibu wa Jinsia atakuwa na jukumu la kutekeleza mipango ya kuendeleza usawa wa kijinsia kupitia utekelezaji wa Mkakati wa Usawa wa Kijinsia (GES) wa AKF katika...
Replies
0
Views
2K
Shirika la Save the Children ni shirika huru linaloongoza duniani kwa ajili ya watoto. Tunafanya kazi katika nchi 120. Tunawaokoa watoto, tunapigania haki zao, na tunawasaidia kufikia uwezo wao...
Replies
0
Views
2K
Nafasi za Kazi Watu Credit Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Watu Credit kwa watanzania wote wenye sifa na vigezo vyote waweze kutuma maombi kuanzia leo. Soma maelezo yote kwenye PDF hapo chini au Tuma maombi hapa
Replies
0
Views
883
Ajira Mpya Ramada Hotel Nafasi za kazi
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi za hotelini au Ajira Mpya Ramada Hotel kwa watanzania wote wenye sifa na vigezo. Download tangazo zima hapo chini.
Replies
0
Views
869
Nafasi za kazi TAHA Ajira Mpya 2025
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi kutoka TAHA kwa Office Attendant katika ofisi za Mbeya tuma maombi mapema.
Replies
0
Views
2K
Hili hapa tangazo la Nafasi za Kazi Paveway Africa kwa watanzania wote wenye sifa.
Replies
0
Views
629
Hili hapa Nafasi za Kazi Wilaya ya Mbeya kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo. 1. Afisa Hesabu - Nafasi 3 2. Msaidizi wa Hesabu - Nafasi 4
Replies
0
Views
7K
Hili hapa tangazo la Nafasi za kazi Human Resources Staff Esther Luxury Coach Bus kwa watanzania wote wenye sifa. Unaweza kupeleka maombi moja kwa moja ofisini.
Replies
0
Views
762
Hili hapa tangazo la Nafasi za kazi Marketing Manager Esther Luxury Coach Bus kwa watanzania wote. Maombi unaweza peleka moja kwa moja ofisini.
Replies
0
Views
776
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom