Ajira na Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  • Featured
Hili hapa tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Ajira Portal Majina ya Nyongeza kada ya ualimu leo tarehe 08 januari 2025. Leo, Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs...
Replies
0
Views
11K
Yovina daniel
  • Featured
Hili hapa tangazo la nafasi za kazi za Afisa Maendeleo ya Jamii daraja la Pili (Community Development Officer II) kutoka MDAs & LGAs zilizo tangazwa kupitia Sekretarieti ya ajira katika Utumishi...
Replies
0
Views
5K
Yovina daniel
  • Featured
Hizi hapa nafasi za kazi za Afisa Tehama daraja la pili (Programmer) kutoka MDAs & LGAs zilizo tangazwa kwa watanzania wote kupitia Ajira Portal. Mwombaji awe na Stashahada ya juu au Shahada ya...
Replies
0
Views
1K
Yovina daniel
  • Featured
Hizi hapa nafasi za kazi za Daktari wa upasuaji wa kinywa na meno daraja la pili (Dental Surgeon II) kutoka MDAs & LGAs zilizo tangazwa kupitia Ajira Portal leo. Kuajiriwa wenye shahada ya...
Replies
0
Views
458
Yovina daniel
  • Featured
Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU), kilichokuwa kikijulikana kama TUDARCo, kipo kwenye mchakato wa mabadiliko makubwa ya kimkakati na kubadilisha chapa yake ili kuendana na maendeleo ya...
Replies
0
Views
1K
Yovina daniel
  • Featured
Ajira mpya TARURA Januari 2025
Hizi hapa Ajira mpya TARURA zilizo tangazwa siku ya leo
Replies
0
Views
254
Yovina daniel
  • Featured
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote waliomba kazi za muda mfupi zilizotangazwa tarehe 04 Decemba, 2024 kuwa, usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe...
Replies
0
Views
6K
Yovina daniel
  • Featured
Hizi hapa ni Nafasi za kazi za Dobi (Lauderer) kutoka MDAs & LGAs kupitia Ajira Portal. Tuma maombi hapa
Replies
0
Views
1K
Yovina daniel
  • Featured
Hizi hapa nafasi za kazi Afisa Afya Mazingira Msaidizi daraja la pili (Assistant Environmental Health Officer) kutoka MDAs & LGAs Kuajiriwa wenye Stashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira kutoka...
Replies
0
Views
3K
Yovina daniel
  • Featured
Uongozi wa Shule ya Sekondari St. Peter’s unapenda kuwatangazia wananchi wote nafasi ya kazi ya ualimu katika masomo yafuatayo; 1. Mwalimu masomo ya Basic Mathematics na Physics – Nafasi 1 2...
Replies
0
Views
2K
Yovina daniel
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom