Ajira

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Wananchi, Hizi hapa Nafasi za kazi Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Ajira Mpya NBAA December 2024, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye...
Replies
1
Views
2K
rodrigo
Hizi hapa Nafasi za Tabibu Daraja la II - TGHS B | Ajira Mpya Kada ya Afya December 2024 zilizo tangazwa na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na Wizara ya afya...
Replies
2
Views
509
arrah tz
Naomba msaada mm niki login inaandika successful. Ila profile picture haionekani kwajili ya ku-upload vyeti.
Replies
0
Views
204
Yovina daniel
Haya hapa Matokeo ya Usaili Ajira Portal na Utumishi wa Kuandika UDSM, NIT, TMA, yaliyo tangazwa na Sekretarieti ya Ajira Tanzania uliofanyika tarehe 7 Desemba 2024, orodha kamili ya majina ya...
Replies
0
Views
2K
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili MJNUAT. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia...
Replies
0
Views
893
Hizi hapa Nafasi za kazi Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC), Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi...
Replies
0
Views
4K
Hizi hapa Nafasi za kazi Kwa niaba ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha Watanzania wenye sifa, ujuzi, na ari ya...
Replies
0
Views
4K
Hizi hapa Nafasi za kazi 40 Kampuni ya E360 Tanzania December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo kwa kufata vigezo vilivyo ainishwa katika...
Replies
0
Views
3K
Habari, Naomba msaada namna ya kuingia kwenye portal ya Uhamiaji ikiwa nilifungua account na nikasahau neno la siri na sikufika kwenye hatua ya kuthibitisha Email . Na nilipo jaribu kuwatafuta juu...
Replies
1
Views
232
Elisha
Pole na majukumu. Changamoto yangu kuu ni hii bachelor degree of science in agricultural natural resources economics and business inayotolewa chuo kikuu cha Dar es salaam kutokupewa nafasi sawa...
Replies
2
Views
755
Nayna
Back
Top Bottom