Sports
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
SIMBA SPORTS CLUB KATIKA LIGI KUU MPAKA SASA ➡️ROUND 12.✅ ⚽ WAFUNGAJI BORA 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 5 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇺🇬Desse Mukwala - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu -...
Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi...
Huu hapa msimamo wa Ligi kuu Nbc Tanzania Bara Baada ya Mchezo wa Leo (Simbasc vs Ken Gold).
Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza...
Kipindi Cha kwanza kimeisha huku Simba wa Msimbazi wapo kifua mbele Kwa Goli mbili zote zikiwekwa kimiani na Leonel Ateba katika dakika ya 42' na 44' huku Ken Gold bado hawajapata Kitu.
Kikosi cha Simba SC dhidi ya Ken Gold Camara, Kijili, Nouma, Chamou, Melone, Mzamiru, Chasambi, Ngoma, Ateba, Kibu & Awesu Mpanzu akipata leseni ataanza akikosa ataanza Awesu Zimbwe Jr & Ahoua...
Katika mechi ya leo ya Simba dhidi ya Ken Gold.. ELIE MPANZU anaweza asitumike kutokana na ITC yake kutoka AS VITA, bado hawajairuhusu ili jina lake lisomeke Simba. Lakini viongozi wanapambana ili...
- Question
Mechi ya Simba SC dhidi ya KenGold inatarajiwa kuwa ya kusisimua sana! Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, watakuwa wenyeji wa KenGold kutoka Mbeya kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge. Huu ni mchezo...
Tanzania – NBC Premier League 16:00 Simba SC vs KenGold Spain – Laliga 23:30 Espanyol vs Valencia 23:30 Villarreal vs Rayo Vallecano France – Ligue 1 23:00 AS Monaco vs Paris Saint-Germain England...
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba inafuatilia kwa karibu kiwango cha Allan Okello (24) mchezaji wa Klabu Vipers inayoshiriki Ligi kuu Nchini Uganda. Okello, ni miongoni mwa vijana waliojaliwa...