Sports

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja. Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly...
Replies
0
Views
59
Revoo
Klabu ya Namungo ‘The Southern Killers’ imethibitisha kumsajili aliyekuwa beki wa Azam Fc, Daniel Amoah raia wa Ghana kama mchezaji huru baada ya mchezaji huyo kukosa timu ya kuitumikia tangu...
Replies
0
Views
65
Revoo
Makgopa anaifungia Orlando Pirates kabla ya mapumziko. 🔥 #TotalEnergiesCAFCL
Replies
0
Views
46
Revoo
  • Article Article
Hamad Majimengi✅✅ ana cover winger zote kulia na kushoto Fundi haswa Amepita: Ruvu shooting, JKU, Coastal Union,Namungo na Singida Black star ✅✅ Karibu kwenye Familia ya wana TP LIND ANDA
Replies
0
Views
47
Revoo
Jina sio geni Masikioni mwa watu labda kwa wageni wa Ligi ya Tanzania Yes! Deus Kaseke ni mwana TP LINDANDA✅✅
Replies
0
Views
59
Revoo
Yes! Habib Kyombo ni Mwana TP LINDANDA ✅✅
Replies
0
Views
61
Revoo
Tp Mazembe 1 vs 1 Young African As Maniema union 1 vs 1 As Far Rabati
Replies
0
Views
90
Revoo
Baada ya kuwasili nchini mwenyekiti wa bodi ya wakurungezi ya Simba SC, Mohammed Dewji 'Mo' amekabidhiwa ripoti ya usajili ya dirisha dogo ya klabu ya Simba SC kutoka kwa bechi la ufundi la Simba...
Replies
0
Views
245
Revoo
Young African wanahitaji Zaidi kushinda mechi zake za Nyumbani zote dhidi ya Tp Mazembe na Mc Alger na kupata sale au suruhu dhidi ya Al HILAL Ugenini, pia kumuombea matokeo mabaya Mc Alger Leo...
Replies
0
Views
162
Revoo
Hii Yanga imepoteza ubora wake gafla sana sio Yanga ile ya msimu uliopita ….. Dube anaokoa Jahazi kwa Wananchi dakika za mwisho “Atleast” wamepunguza mzigo mkubwa . Yanga kuvuna Alama 1 leo pale...
Replies
1
Views
84
Back
Top Bottom