Sports
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
RATIBA ya Mechi za Leo Jumapili tarehe 15 December 2024 Tanzania – NBC Premier League 14:00 KenGold vs Namungo FC 16:15 JKT Tanzania vs Mashujaa
Wawakirishi pekee wa Tanzania katika michuano ya shirikisho Africa Leo Simba sports club kukipinga na CS SFAXIEN saa 10:00 jioni, uwanja wa Mkapa Tanzania Simba sports club Kwa Sasa wanashika...
Sura ya kazi SHARIF IBRAHIM 🇨🇲 Mbavu ya Kushoto na kulia ⚽️ Mwana TP LINDANDA
Mchezo umetamatika Kwa suruhu ya Goli Moja kwa Moja. Hamna mbabe Kwa mwenzake, Orlando pirates wanakwenda kushika nafasi ya kwanza na points tano "5" michezo mitatu "3"wakifatiwa na Al Ahly...
Klabu ya Namungo ‘The Southern Killers’ imethibitisha kumsajili aliyekuwa beki wa Azam Fc, Daniel Amoah raia wa Ghana kama mchezaji huru baada ya mchezaji huyo kukosa timu ya kuitumikia tangu...
Makgopa anaifungia Orlando Pirates kabla ya mapumziko. 🔥 #TotalEnergiesCAFCL
- Article
Hamad Majimengi✅✅ ana cover winger zote kulia na kushoto Fundi haswa Amepita: Ruvu shooting, JKU, Coastal Union,Namungo na Singida Black star ✅✅ Karibu kwenye Familia ya wana TP LIND ANDA
Jina sio geni Masikioni mwa watu labda kwa wageni wa Ligi ya Tanzania Yes! Deus Kaseke ni mwana TP LINDANDA✅✅
Tp Mazembe 1 vs 1 Young African As Maniema union 1 vs 1 As Far Rabati