Sports

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
MC Alger ushindi muhimu sana kwao katika harakati za kutinga robo fainali, wamestahili alama 3 dhidi ya TP Mazembe kwa ustadi mzuri wa utendaji, Pointi nane kabatini kwa MC Alger Tp Mazembe...
Replies
0
Views
367
Revoo
Hii hapa ratiba ya Ligi kuu Ugerumani yenye michezo minne itakayopigwa ndani ya wiki hii kuanzia Leo January 10, 2025 hadi Jumapili ya January 12, 2025.
Replies
0
Views
267
Revoo
Hii hapa michezo yote ya Laliga Kwenye mzunguko wa Kumi na Tisa inayoanza Leo Ijumaa ya January 10, 2025 Hadi January 12, 2025 Jumapili.
Replies
0
Views
515
Revoo
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Jean Othos Baleke amegoma kwenda kwa mkopo katika klabu ya Namungo Fc na anataka kulipwa chake aondoke Yanga... Yanga hawana mpango na nyota huyo wa kimataifa wa DR...
Replies
0
Views
323
Revoo
Kuna uwezekano mkubwa Bravos do Maquis wakaingia kwenye mfumo wa Simba kama wataamini walistahili kushinda mchezo wao wa awali. Ukweli ni kwamba Simba iliyocheza dhidi ya Bravos hapa nyumbani na...
Replies
0
Views
259
Revoo
Kukusanya pointi 6 katika mechi mbili zilizobaki bila kuangalia matokeo ya kupande mwingi, hapo watakuwa wametinga robo fainali. Kinachohitajika kwa Yanga SC ni kupambana zaidi uwanjani ili...
Replies
0
Views
334
Revoo
Kwa mujibu wa uteuzi wa CAF, mechi ya Simba Dhidi Ya Bravo itakayopigwa January 12, 2025 kuanzia saa 11:00 jioni kwa saa za Angola ambazo ni sawa na saa 1:00 usiku kwa Afrika Mashariki na Kati...
Replies
0
Views
261
Revoo
Maneno ya Kocha Mkuu wa zamani wa Wydad Casablanca, Esperance de Tunis, Raja Club Athletic na Timu ya Taifa ya Tunisia Faouzi Benzart. "Sitoshangaa Mwaka huu katika orodha ya Ligi bora Afrika...
Replies
0
Views
315
Revoo
Mchezaji wa muda mrefu wa Azam FC Yahya Zayd amefichua sababu zilizopelekea kurejea nyumbani baada ya kupata fursa ya kucheza kwenye klabu ya Ismailia ya Misri lakini hakufanikiwa kudumu kwa muda...
Replies
0
Views
295
Revoo
Hii hapa ratiba kamili ya mechi zitakazopigwa Kwenye Ungwe ya Tano katika michuano ya Klabu Bingwa Africa. Michezo hiyo itaanza kurindima Leo Ijumaa ya January 10, 2025 Hadi jumapili ya January...
Replies
0
Views
457
Revoo
Back
Top Bottom