Sports

NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeweka wazi ongezeko kubwa la zawadi kwa washindi wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ya mwaka 2025 yatakayofanyika Kenya, Tanzania, na Uganda. Zawadi ya...
Replies
0
Views
398
Revoo
Raia wa Kenya Robert Matano (60) 🇰🇪 ndiye kocha Mkuu mpya wa klab ya Fountain Gate 🇹🇿 akirithi mikoba ya Mohamed Muya aliyefutwa kazi hivi karibuni. Mazungumzo ya pande zote mbili yamekamilika na...
Replies
0
Views
165
Revoo
Klabu ya Tabora United FC imekamilisha usajili wa beki Yassin Mustapha akitokea Mtibwa Sugar FC Mustapha amejiunga na klabu ya Tabora United FC akiwa Mchezaji huru baada ya kuachana na Mtibwa...
Replies
0
Views
190
Revoo
Kikosi cha Wachezaji 22 watakaosafiri Kesho Alfajiri kuelekea Angola kuwafuata FC Bravos Maquis katika mchezo wa CAF Confederation Cup utakaochezwa jumapili Huku wachezaji kadhaa wakikosekana...
Replies
0
Views
212
Revoo
Timu ya Toronto Fc ya nchini Marekani inakumbana na upinzani kutokea kwenye klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco katika jitihada za kumrejesha kikosini mchezaji wao Cassius Mailula aliyepo...
Replies
0
Views
182
Revoo
Klabu ya fountain gate fc Imemtambulisha Mlinda lango wao Mpya Ibrahim Parapanda Ibrahim parapanda amejiunga na klab ya Fountain Gate kwa mkataba wa Mkopo akitokea singida black star Parapanda...
Replies
0
Views
164
Revoo
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Nigeria 🇳🇬 NFF limetangaza bwana Eric Sekuo Chelle kuwa kocha wa timu ya taifa hilo. Kabla ya kuchaguliwa kuwa kocha wa taifa hilo aliwahi kuifundisha timu ya...
Replies
0
Views
213
Revoo
Uongozi soka ya Yanga imethibitisha kuwa klabu hiyo bado inaendelea kuwakosa nyota wao muhimu,Aziz Andambwile, Yao Kouassi Atouholla na Max Mpia Nzingeli. Repoti kutoka kwa daktari wa klabu hiyo...
Replies
0
Views
301
Revoo
Kufuatia Mchezo Unaofuata wa Yanga Dhidi Ya Al Hilal, Mchambuzi wa michezo George Ambangile anasema kuwa Yanga SC wasipige hesabu kisa Al hilal kuwa wamefuzu kama utakuwa mchezo mwepesi. “Yanga SC...
Replies
0
Views
269
Revoo
Klabu ya soka ya Yanga inatalajia kusafiri na kuelekea nchini Mauritania 🇲🇷 siku ya Alhamisi kwa ajili ya mchezo wa mzunguko wa tano dhidi ya Al Hilal. Taarifa iliyotolewa na Afisa habari wa klabu...
Replies
0
Views
297
Revoo
Back
Top Bottom