Sports
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeweka wazi ongezeko kubwa la zawadi kwa washindi wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ya mwaka 2025 yatakayofanyika Kenya, Tanzania, na Uganda. Zawadi ya...
Robert Matano Mbioni Kutambulishwa Kocha Mkuu Fountain Gate Fc 09 January 2025
Raia wa Kenya Robert Matano (60) 🇰🇪 ndiye kocha Mkuu mpya wa klab ya Fountain Gate 🇹🇿 akirithi mikoba ya Mohamed Muya aliyefutwa kazi hivi karibuni. Mazungumzo ya pande zote mbili yamekamilika na...
Yasin Mustapha Ni Mali Ya Tabora United Fc 09 January 2025
Klabu ya Tabora United FC imekamilisha usajili wa beki Yassin Mustapha akitokea Mtibwa Sugar FC Mustapha amejiunga na klabu ya Tabora United FC akiwa Mchezaji huru baada ya kuachana na Mtibwa...
Simba Sports Club Kuwafuata Bravo Do Maquis Kesho Alfajiri 09 January 2025
Kikosi cha Wachezaji 22 watakaosafiri Kesho Alfajiri kuelekea Angola kuwafuata FC Bravos Maquis katika mchezo wa CAF Confederation Cup utakaochezwa jumapili Huku wachezaji kadhaa wakikosekana...
Timu ya Toronto Fc ya nchini Marekani inakumbana na upinzani kutokea kwenye klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco katika jitihada za kumrejesha kikosini mchezaji wao Cassius Mailula aliyepo...
Klabu ya fountain gate fc Imemtambulisha Mlinda lango wao Mpya Ibrahim Parapanda Ibrahim parapanda amejiunga na klab ya Fountain Gate kwa mkataba wa Mkopo akitokea singida black star Parapanda...
Eric Sekuo Chelle Kocha Mpya Timu Ya Taifa Nigeria Leo January 08, 2025
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Nigeria 🇳🇬 NFF limetangaza bwana Eric Sekuo Chelle kuwa kocha wa timu ya taifa hilo. Kabla ya kuchaguliwa kuwa kocha wa taifa hilo aliwahi kuifundisha timu ya...
Uongozi soka ya Yanga imethibitisha kuwa klabu hiyo bado inaendelea kuwakosa nyota wao muhimu,Aziz Andambwile, Yao Kouassi Atouholla na Max Mpia Nzingeli. Repoti kutoka kwa daktari wa klabu hiyo...
Kufuatia Mchezo Unaofuata wa Yanga Dhidi Ya Al Hilal, Mchambuzi wa michezo George Ambangile anasema kuwa Yanga SC wasipige hesabu kisa Al hilal kuwa wamefuzu kama utakuwa mchezo mwepesi. “Yanga SC...
Yanga Kuwafuata Al Hilal Omdurman Kesho Alhamisi 09 January 2025
Klabu ya soka ya Yanga inatalajia kusafiri na kuelekea nchini Mauritania 🇲🇷 siku ya Alhamisi kwa ajili ya mchezo wa mzunguko wa tano dhidi ya Al Hilal. Taarifa iliyotolewa na Afisa habari wa klabu...