Sports

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Klabu ya Simba sports club itasafiri tena Kuwafuata bravo do Maquis nchini Angola katika michuano ya shirikisho barani Africa CAFCC. Mchezo Huo ni Mchezo mhimu sana Kwa Mnyama Simba kwani endapo...
Replies
0
Views
362
Revoo
Pichani ni Abdulrazak Hamza na Yusuph Kagoma wachezaji wa Simba Sc wenye utambulisho wa uraia wa Tanzania. Ni sajili za dirisha kubwa la usajili msimu wa 2024/25 pale Lunyasi. Naamini asilimia...
Replies
0
Views
304
Revoo
Klabu ya Wydad Casablanca imetenga kiasi cha fedha 831,082 US Dollar sawa na kiasi cha Billioni mbili za kitanzania kwaajili ya kunasa saini ya mchezaji Clement Mzize ifikapo dirisha kubwa la...
Replies
0
Views
212
Revoo
Ligi za Mabingwa za Mabara yetu duniani ,zilianza miaka ya 1950 kwa kule Ulaya na Afrika zilianza miaka ya 1960, Hakukuwa na Makombe mengine ya Mpata Mpatae. Rais wa UEFA wa miaka ile ,akaja na...
Replies
0
Views
265
Revoo
Kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema hadi sasa hesabu za timu hiyo kutinga Robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika zipo sawa baada ya kuifumua TP Mazembe kwa mabao 3-1 na kudai kipigo hicho...
Replies
0
Views
268
Revoo
Huu hapa msimamo wa Makundi yote ya Kombe la shirikisho barani Africa CAFCC baada ya michezo ya Ungwe ya Nne Kukamilisha jana
Replies
0
Views
406
Revoo
Huu hapa msimamo wa Makundi yote ya Kilabu Bingwa Africa CAFCL baada ya kukamilisha Kwa mzunguko wa nne.
Replies
0
Views
830
Revoo
Kwenye Kundi hili kila timu 3 za juu zote zinamtazama Cs Sfaxien kama ngazi...atakaedondosha alama kwa Sfaxien anaweza kubaki. Simba amefanikiwa kuchukua alama zote 6 kwa Sfaxien, Constantine...
Replies
0
Views
245
Revoo
Klabu ya Al Hilal kutoka Sudan 🇸🇩 inakuwa timu ya kwanza msimu huu kwenye CAFCL kufuzu hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo . Kwenye michezo minne amekusanya Alama 10 . Kwasasa ni Yanga wenyewe...
Replies
0
Views
389
Revoo
Huu hapa msimamo wa kundi la Simba sports club Katika Michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa CAFCC
Replies
0
Views
736
Revoo
Back
Top Bottom