Sports

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi...
Replies
0
Views
102
Revoo
Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu. Ni mechi ambayo...
Replies
0
Views
69
Revoo
Gd Sagrada Esperanca anaongoza Kwa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako huku Pyramid wakiwa suruhu Dhidi ya Esperance De Tunis
Replies
0
Views
56
Revoo
Michezo ya mapema Leo Kombe la shirikisho Africa CAFCC imefika mapumziko huku Simba wakiongoza ugenini Dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia, huku Stellenbosch FC wakiwa suruhu Dhidi ya CD Lunda sul, Asc...
Replies
0
Views
50
Revoo
𝐌𝐂𝐇𝐄𝐙𝐎 𝐍𝐈 𝐌𝐀𝐏𝐔𝐌𝐙𝐈𝐊𝐎 Well done Lunyasi dakika 45 bora mmecheza 👏 mikakati sahihi timu ikiwa na mipira (pasi sahihi za mbele na uharaka kwenye matukio muhimu ✅) Goli limehusisha pasi tatu tu!.. hawa...
Replies
0
Views
49
Revoo
Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya CS Sfaxien 🇲🇱Moussa CAMARA (GK) 🇹🇿Shomari KAPOMBE 🇹🇿Mohammed HUSSEIN (C) 🇹🇿Abdulrazak HAMZA 🇨🇲Che MELONE 🇹🇿Yusuf KAGOMA 🇹🇿Kibu DENIS 🇨🇩Fabrice NGOMA...
Replies
0
Views
124
Revoo
CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc. Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo...
Replies
0
Views
67
Revoo
Baada ya ushindi wa jana wa Yanga dhidi ya Tp Mazembe nafikiri maombi yao yawe kwenye mechi ya leo ya Hilal dhidi ya Mc Alger. Kama Hilal atashinda leo ni wazi Yanga atakwenda robo fainali...
Replies
0
Views
117
Revoo
  • Poll Poll
Kikosi chetu cha Simba Sc kinapambana leo na CS Sfaxien – Kombe la Shirikisho Afrika Leo saa moja usiku, kikosi cha Simba kitashuka dimbani katika Uwanja wa Hammadi Agrebi, Tunis, kupambana na CS...
Replies
0
Views
264
KIKOSI Cha Simba Sports Club Dhidi Ya Cs Sfaxien Leo January 05, 2025 TotallyEnergyCAFCC Klabu ya Simba itakuwa ugenini Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Shirikisho Africa CAFCC dhidi ya Cs...
Replies
0
Views
113
Revoo
Back
Top Bottom