Sports

NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Jean Charles Ahoua kwenye kombe la shirikisho Afrika , amehusika kwenye magoli manne (04) hadi hivi sasa . Ametoa pasi za magoli (02) huku akifunga magoli mawili hadi hivi sasa 🔥 kwenye eneo la...
Replies
0
Views
402
Revoo
Pyramid ya Misri wameshinda Leo Goli mbili Dhidi ya Esperance De Tunis ya Nchini Tunisia, huku Gd Sagrada Esperanca wakipats Ushindi wa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako
Replies
0
Views
142
Revoo
Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi...
Replies
0
Views
252
Revoo
Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu. Ni mechi ambayo...
Replies
0
Views
206
Revoo
Gd Sagrada Esperanca anaongoza Kwa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako huku Pyramid wakiwa suruhu Dhidi ya Esperance De Tunis
Replies
0
Views
153
Revoo
Michezo ya mapema Leo Kombe la shirikisho Africa CAFCC imefika mapumziko huku Simba wakiongoza ugenini Dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia, huku Stellenbosch FC wakiwa suruhu Dhidi ya CD Lunda sul, Asc...
Replies
0
Views
150
Revoo
𝐌𝐂𝐇𝐄𝐙𝐎 𝐍𝐈 𝐌𝐀𝐏𝐔𝐌𝐙𝐈𝐊𝐎 Well done Lunyasi dakika 45 bora mmecheza 👏 mikakati sahihi timu ikiwa na mipira (pasi sahihi za mbele na uharaka kwenye matukio muhimu ✅) Goli limehusisha pasi tatu tu!.. hawa...
Replies
0
Views
147
Revoo
Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya CS Sfaxien 🇲🇱Moussa CAMARA (GK) 🇹🇿Shomari KAPOMBE 🇹🇿Mohammed HUSSEIN (C) 🇹🇿Abdulrazak HAMZA 🇨🇲Che MELONE 🇹🇿Yusuf KAGOMA 🇹🇿Kibu DENIS 🇨🇩Fabrice NGOMA...
Replies
0
Views
248
Revoo
CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc. Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo...
Replies
0
Views
262
Revoo
Baada ya ushindi wa jana wa Yanga dhidi ya Tp Mazembe nafikiri maombi yao yawe kwenye mechi ya leo ya Hilal dhidi ya Mc Alger. Kama Hilal atashinda leo ni wazi Yanga atakwenda robo fainali...
Replies
0
Views
215
Revoo
Back
Top Bottom