Sports

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Fadlu amegeuka mwiba mkali kwa wapinzani. Simba ya Fadlu imeruhusu goli chache (5) kwenye mechi 15 za NBC. Simba imeruhusu goli chache (3) kwenye kundi (A) CAF. Simba ni vinara wa kundi (A) CAF...
Replies
0
Views
235
Revoo
Jean Charles Ahoua kwenye kombe la shirikisho Afrika , amehusika kwenye magoli manne (04) hadi hivi sasa . Ametoa pasi za magoli (02) huku akifunga magoli mawili hadi hivi sasa 🔥 kwenye eneo la...
Replies
0
Views
476
Revoo
Pyramid ya Misri wameshinda Leo Goli mbili Dhidi ya Esperance De Tunis ya Nchini Tunisia, huku Gd Sagrada Esperanca wakipats Ushindi wa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako
Replies
0
Views
195
Revoo
Michezo ya mapema kabisa Leo Kwenye Kombe la shirikisho Africa CAFCC Imetamatika huku Simba Mnyama akipata Ushindi wake wa kwanza katika ardhi ya mwarabu nchini Tunisia ambapo ameondoka na Ushindi...
Replies
0
Views
343
Revoo
Ushindi wa Simba dhidi ya Cs Sfaxien unawapeleka kileleni mwa msimamo wa kundi A wakiwa na alama 9 na kuzima ile kauli ya Simba huwa haijawahi kushinda nyumbani kwa mwarabu. Ni mechi ambayo...
Replies
0
Views
303
Revoo
Gd Sagrada Esperanca anaongoza Kwa Goli Moja Dhidi ya Djoliba Ac De Bamako huku Pyramid wakiwa suruhu Dhidi ya Esperance De Tunis
Replies
0
Views
204
Revoo
Michezo ya mapema Leo Kombe la shirikisho Africa CAFCC imefika mapumziko huku Simba wakiongoza ugenini Dhidi ya Cs Sfaxien ya Tunisia, huku Stellenbosch FC wakiwa suruhu Dhidi ya CD Lunda sul, Asc...
Replies
0
Views
196
Revoo
𝐌𝐂𝐇𝐄𝐙𝐎 𝐍𝐈 𝐌𝐀𝐏𝐔𝐌𝐙𝐈𝐊𝐎 Well done Lunyasi dakika 45 bora mmecheza 👏 mikakati sahihi timu ikiwa na mipira (pasi sahihi za mbele na uharaka kwenye matukio muhimu ✅) Goli limehusisha pasi tatu tu!.. hawa...
Replies
0
Views
204
Revoo
Kikosi cha Simba SC kinachoanza dhidi ya CS Sfaxien 🇲🇱Moussa CAMARA (GK) 🇹🇿Shomari KAPOMBE 🇹🇿Mohammed HUSSEIN (C) 🇹🇿Abdulrazak HAMZA 🇨🇲Che MELONE 🇹🇿Yusuf KAGOMA 🇹🇿Kibu DENIS 🇨🇩Fabrice NGOMA...
Replies
0
Views
344
Revoo
CS Sfaxien wako nyumbani leo kwenye kampeni yao kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho na wanacheza dimbani kucheza na Simba Sc. Sfaxien hawajashinda mchezo wowote katika michezo...
Replies
0
Views
319
Revoo
Back
Top Bottom