Sports

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Klabu ya TP Mazembe imetuwa salama nchini Algeria 🇩🇿 kwa ajili ya mchezo wa ijumaa dhidi ya MC Algiers. Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limemchagua refa Ambongile Tom kutoka Afrika...
Replies
0
Views
56
Revoo
Zilipita Zilikuwepo na zikaondoka kwenye Ardhi ya Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere namba 2 bora sana Lakini hakuna aliyetikisa hata nusu ya Uwezo wa Shomari Kapombe. Ndani ya Ardhi hiii Hakuna...
Replies
0
Views
51
Revoo
Kocha mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud mwenye uraia pacha wa Algeria na Ufaransa, ambaye amerithi mikoba ya Patrick Aussems, ameeleza kuwa na mpango wa kuifanya timu hiyo kuwa tishio Ligi...
Replies
0
Views
81
Revoo
Wakati Yanga wamewaka kwenye game hizi tano za mwisho …. Chama Clatous anarejea mazoezini kuongeza nguvu kwenye eneo la namba 10. Ramovic kikosi chake kinazidi kuwa kipana, wachezaji wenye...
Replies
0
Views
57
Revoo
SIMBA SC endapo wakimaliza nafasi ya pili kwenye kundi kuna hati hati ya kukutana na timu zifuatazo ambazo zinanafasi kubwa ya kumaliza kama vinara kwenye makundi yao. Rs Berkane(Moroco) USM...
Replies
0
Views
75
Revoo
Beki wa zamani wa Real Madrid, Marcelo anatupa stori namna alivyojiunga na klabu hiyo. "Sitakuja kusahau mchakato wangu wa kujiunga na Real Madrid ulivyokuwa. "Siku moja mwakilishi wangu...
Replies
0
Views
48
Revoo
Yani kila ukimuangalia Mudathir Yahya unapata picha ya namna Kiungo Chuma anatakiwa kuwa, nazani ndio kiungo bora zaidi wa kati anaweza kuzuia njia za mipira ‘Ball paths’ kwa usahihi sana kutoka...
Replies
0
Views
49
Revoo
Klabu ya Simba sports club itasafiri tena Kuwafuata bravo do Maquis nchini Angola katika michuano ya shirikisho barani Africa CAFCC. Mchezo Huo ni Mchezo mhimu sana Kwa Mnyama Simba kwani endapo...
Replies
0
Views
112
Revoo
Pichani ni Abdulrazak Hamza na Yusuph Kagoma wachezaji wa Simba Sc wenye utambulisho wa uraia wa Tanzania. Ni sajili za dirisha kubwa la usajili msimu wa 2024/25 pale Lunyasi. Naamini asilimia...
Replies
0
Views
71
Revoo
Klabu ya Wydad Casablanca imetenga kiasi cha fedha 831,082 US Dollar sawa na kiasi cha Billioni mbili za kitanzania kwaajili ya kunasa saini ya mchezaji Clement Mzize ifikapo dirisha kubwa la...
Replies
0
Views
70
Revoo
Back
Top Bottom