Sports
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026
Florent Ibenge ni miongoni mwa Makocha wa kisasa ambao huwa wanaacha matokeo ya uwanjani yaongee zaidi kuliko yeye ndio maana mtego wake wa kwanza huwa ni kuwaheshimu wapinzani wake. Mechi ya...
- Article
Mbosso - Kupenda Audio Pakua hapa MP3 Download
Leo mwanamziki anaejulikana kwa jina la Mbosso kutoka katika label ya WCB Wasafi ameachia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "Kupenda" kaisikilize sasa kisha twambie hapa kapatia kama kawaida...
Klabu ya Simba tayari wamewasili salama nchini Angola Kwaajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji wao Bravos, mchezo huu utachezwa siku ya jumapili majira ya saa 1:00 usiku kwa saa za Tanzania.
Azam FC wamekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa wa Ivory Coast Zouzou Landry kutoka klabu ya Afad Djakanou ya Ivory Coast kwa mkataba wa miaka minne. kimahesabu Zozuou anaenda kuziba nafasi...
Ukifatalia kwa ukaribu ligi kuu nchini Afrika kusini PSL utapata kufahamu vilabu na madaraja yake kama vile vigogo( Orlando Pirates, Kaizer na Mamelodi Sundowns) Halikadhalika kuna zile timu za...
Jumapili ya January 12, Simba wataingia katika dimba la Estadio 11 de Novembro kukipiga na Onze Bravos do Maquis kwenye mchezo wa 5 wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho. Katika mchezo huo...
Simba SC itacheza dhidi ya Bravos FC ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la CAF Jumapili, Januari 12, 2025, lakini wachezaji wanne muhimu wameachwa nyuma. Wachezaji hao ni Aishi Manula...
Endapo Simba atamaliza Nafasi ya kwanza kwenye kundi lake basi ana nafasi kubwa sana ya Kufika hadi hatua ya Nusu Fainal. Endapo simba atamaliza Nafasi ya kwanza basi upo uwezekano mkubwa sana wa...
Klabu ya Wydad Athletic imebisha hodi tena Yanga kutaka wachezaji wawili. Wachezaji hao wawili ni Clement Mzize na Stephane Aziz Ki. Yanga iliweka wazi wataanza kusikiliza ofa kwa wachezaji hao...
Tunaenda kwa Al Hilal kupata alama tatu, hatuna presha na hata msimu uliopita wachezaji walikutana na hali kama hii, sisi tunajiamini na tumejiandaa kurudi na alama tatu. Tumeshamaliza home work...