Sports

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
HIki hapa Kikosi Cha Tp Mazembe kinachoanza kuwavaa Yanga ya Tanzania Leo saa kumi kamili.
Replies
0
Views
172
Revoo
Baada ya Yanga kupata “Turning Point” yao pale Lubumbashi dhidi ya Tp Mazembe kwenye CAFCL leo wanarudi tena wakiwa nyumbani dhidi ya wababe hao hao kutoka DR Congo. Sead Ramovic ametambulisha...
Replies
0
Views
50
Revoo
Rais wa Tp mazembe MOÏSE KATUMBI amewaahidi wachezaji wake dollar 💰$100,000 ambazo ni sawa na Tshs milioni (240,090,900.2695) kwa kila bao litakalofungwa dhidi ya Young AfricansSC leo Jumamosi 04...
Replies
0
Views
51
Revoo
"...Sisi wachezaji wetu ndio ambao watakaotubakiza kwenye ramani ya Champions League na wao ndio watakaotutoa kwenye ramani kwa hiyo ufunguo upo kwao watuweke kwenye mashindano kwa kushinda au...
Replies
0
Views
59
Revoo
KIKOSI Cha Young African's vs Tp Mazembe Leo 04 January 2025 Klabu ya Yanga itakuwa nyumbani Leo kucheza mchezo unaofuata wa Ligi Ya Mabingwa Africa CAFCL dhidi ya Tp Mazembe. Mchezo huo utapigwa...
Replies
0
Views
73
Revoo
Aliyekuwa Kocha Mkuu Wa JS Kabylie Abdelhak Benchikha Amejiuzulu katika nafasi yake hiyo ya Ukocha. Benchikha Anasema “Nikama nilikuwa naishi Njiani sijawahi kuipata Amani Hata kama tukishinda au...
Replies
0
Views
50
Revoo
Yanga Leo Dimbani kusaka Alama tatu ambazo zitafufua matumaini yao ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL, Mchezo utachezwa Benjamin mkapa Tanzania majira ya saa...
Replies
0
Views
62
Revoo
KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata...
Replies
0
Views
59
Revoo
Klabu ya Yanga SC imefikia makubaliano ya kumsajili winga Jonathan Ikangalombo kutoka As Vita Club ya DR Congo. Jonathan mwenye umri wa miaka 22 tayari yupo jijini Dar kukamilisha usajili huo.
Replies
0
Views
244
Revoo
Salah aliulizwa na Sky Sports ikiwa huu utakuwa msimu wake wa mwisho ndani ya Liverpool. Alijibu kwa ujasiri: “Mpaka muda huu? Ndio… huu ndio msimu wangu wa mwisho. Tumeingia katika miezi sita ya...
Replies
0
Views
61
Back
Top Bottom