Sports

NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Klabu ya Yanga SC imefikia makubaliano ya kumsajili winga Jonathan Ikangalombo kutoka As Vita Club ya DR Congo. Jonathan mwenye umri wa miaka 22 tayari yupo jijini Dar kukamilisha usajili huo.
Replies
0
Views
330
Revoo
Salah aliulizwa na Sky Sports ikiwa huu utakuwa msimu wake wa mwisho ndani ya Liverpool. Alijibu kwa ujasiri: “Mpaka muda huu? Ndio… huu ndio msimu wangu wa mwisho. Tumeingia katika miezi sita ya...
Replies
0
Views
193
Januari 3 2022 CEO wa Simba SC wakati huo, Madam Babra Gonzalez alimuajiri Ahmed Ally kama Meneja wa habari na mawasiliano wa Klabu Leo ni miaka mitatu Ahmed Ally amekua kipenzi cha Wanachama na...
Replies
0
Views
343
Revoo
Michuano ya Klabu Bingwa Africa CAFCL inaanza Leo katika Ungwe ya Nne. Cr Belouizdad vs Al Ahly Sc Leo (Ijumaa) 10:00 PM Yanga SC vs Tp Mazembe Kesho (Jumamosi) 04: 00 PM Orlando pirates vs Stade...
Replies
0
Views
273
Revoo
Ni kweli Yanga ni miongoni mwa timu 6 ambazo hazijafanikiwa kupata ushindi wowote kwenye michuano ya CAF Interclub. Ni kweli Yanga wana alama moja mkiani. Lakini, Sidhani kama Yanga wakishindwa...
Replies
0
Views
242
Revoo
Kikosi cha Simba Sports Club kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Tunisia tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika 𝗧𝗼𝘁𝗮𝗹𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝗶𝗲𝘀𝗖𝗔𝗙𝗖𝗖 dhidi ya CS Sfaxien🇹🇳 utakaopigwa...
Replies
0
Views
268
Revoo
Mchezo wa CAF Confederation Cup kati ya CS Sfaxien dhidi ya Simba SC utachezwa katika Uwanja wa Olympique Rades unaopatikana Jijini Tunis BADALA YA uwanja wa nyumbani wa CS Sfaxien unaoitwa Taeib...
Replies
0
Views
161
Revoo
Rais wa heshima na Mwenyekiti wa bodi ya wakurungezi wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji 'Mo' amewasilisha ofa ya dola 300,000 (Zaidi ya milioni 730 za Kitanzania) Pamoja na Aishi Manula kwa maboss...
Replies
0
Views
334
Revoo
𝙏𝘼𝙆𝙒𝙄𝙈𝙐 𝙕𝘼 𝙈𝙒𝘼𝙆𝘼 2024. Timu zilizoshinda alama (points) nyingi : ◉ 89 — Young Africans ◉ 86 — Simba Sports Club ◉ 74 — Azam FC ◉ 56 — Singida B.S Timu zilizoshinda michezo mingi : ◉ 29 — Young...
Replies
0
Views
286
Revoo
Kwenye michuano ya CAF Interclub hatua ya makundi Yanga wanaburuza mkia wakiwa na alama moja tu kwenye msimamo wa kundi A huku kinara Al Hilal akiwa na alama zake 9. Wana nafasi ya kuongoza...
Replies
0
Views
306
Revoo
Back
Top Bottom