Sports

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Kikosi Cha Simba sports club kimesafiri Alfajiri ya leo Januari 1 2025 kuelekea Nchini Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien Mchezo ambao utachezwa tarehe 5 Mwezi wa kwanza Mwaka...
Replies
0
Views
83
Revoo
Klabu ya soka ya Kengold imemsajili mchezaji wa kimataifa kutoka Ghana Bernard Morrison kama mchezaji huru kwa mkataba wa miezi sita. Morrison ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiuguza...
Replies
0
Views
137
Revoo
Winga Saleh Karabaka ametolewa kwa mkopo wa miezi 6 kwenda Namungo FC Karabaka atarejea Simba SC mwisho wa msimu Kila la heri Saleh Karabaka🇹🇿🔴⚪
Replies
0
Views
83
Revoo
Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) imesimamisha ligi kuu Tanzania Bara kuanzia Disemba 29,2024 mpaka Machi 1,2025 kupisha michuano ya Mapinduzi Cup pamoja na Michuano ya CHAN itayoanza...
Replies
0
Views
169
Revoo
Mapinduzi Cup 2025. Michuano ya Mapinduzi 2025 kuanza kuchezwa Ijumaa hii katika dimba la Gombani Kisiwani Pemba. Hii hapa ratiba ya Mapinduzi cup Zanzibar 2025.
Replies
0
Views
264
Revoo
Pacôme Zouzoua amehusika moja kwa moja katika mabao sita kwenye mechi zake tano za mwisho katika NBC Premier League. Vs. Namungo - ⚽ Vs. Mashujaa - 🅰️ Vs. Tanzania Prisons - 🅰️ Vs. Dodoma Jiji -...
Replies
0
Views
142
Revoo
Dirisha dogo la usajili litafungwa Januari 15 mwakani Mpaka sasa Fadlu Davids ameuliza kama kuna uwezekano wa kupatikana Kiungo mkabaji asilia mmoja mwenye ubora sawa au zaidi ya Yusuf Kagoma...
Replies
0
Views
107
Revoo
Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa. Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP...
Replies
0
Views
97
Revoo
Kikosi cha Kilimanjaro Stars kitakachoingia kambini kujiandaa na michezo ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar 2025.
Replies
0
Views
92
Revoo
Baada ya michezo miwili ya Nbc PL Leo, huu hapa msimamo wa Ligi ya Nbc PL Tanzania 2024/2025.
Replies
0
Views
114
Revoo
Back
Top Bottom