Sports

NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumsajili kwenye mfumo wa CAF winga wao mpya Ellie Mpanzu na sasa nyota huyo anaruhusiwa kuichezea Simba kwenye mechi za kombe la shirikisho (CAF Confederation Cup)...
Replies
0
Views
210
Revoo
1.YANGA vs TP MAZEMBE 🇨🇩 -JANUARY 4 KWA MKAPA Saa kumi Jioni 2.AL HILAL 🇸🇩 Vs YANGA - JANUARY 12 MAURITANIA 🇲🇷 Saa nne usiku 3.YANGA Vs MC ALGER 🇩🇿 - JANUARY 18 KWA MKAPA saa kumi Jioni Wananchi...
Replies
0
Views
209
Revoo
Kikosi Cha Simba sports club kimesafiri Alfajiri ya leo Januari 1 2025 kuelekea Nchini Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien Mchezo ambao utachezwa tarehe 5 Mwezi wa kwanza Mwaka...
Replies
0
Views
149
Revoo
Klabu ya soka ya Kengold imemsajili mchezaji wa kimataifa kutoka Ghana Bernard Morrison kama mchezaji huru kwa mkataba wa miezi sita. Morrison ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akiuguza...
Replies
0
Views
238
Revoo
Winga Saleh Karabaka ametolewa kwa mkopo wa miezi 6 kwenda Namungo FC Karabaka atarejea Simba SC mwisho wa msimu Kila la heri Saleh Karabaka🇹🇿🔴⚪
Replies
0
Views
141
Revoo
Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) imesimamisha ligi kuu Tanzania Bara kuanzia Disemba 29,2024 mpaka Machi 1,2025 kupisha michuano ya Mapinduzi Cup pamoja na Michuano ya CHAN itayoanza...
Replies
0
Views
336
Revoo
Mapinduzi Cup 2025. Michuano ya Mapinduzi 2025 kuanza kuchezwa Ijumaa hii katika dimba la Gombani Kisiwani Pemba. Hii hapa ratiba ya Mapinduzi cup Zanzibar 2025.
Replies
0
Views
459
Revoo
Pacôme Zouzoua amehusika moja kwa moja katika mabao sita kwenye mechi zake tano za mwisho katika NBC Premier League. Vs. Namungo - ⚽ Vs. Mashujaa - 🅰️ Vs. Tanzania Prisons - 🅰️ Vs. Dodoma Jiji -...
Replies
0
Views
299
Revoo
Dirisha dogo la usajili litafungwa Januari 15 mwakani Mpaka sasa Fadlu Davids ameuliza kama kuna uwezekano wa kupatikana Kiungo mkabaji asilia mmoja mwenye ubora sawa au zaidi ya Yusuf Kagoma...
Replies
0
Views
170
Revoo
Wananchi baada ya kushinda michezo minne mfululizo ya ligi kuu sasa wanarejea kwenye michuano ya kimataifa. Ambapo ratiba inaonyesha kuwa Yanga Jumamosi hii January 4,2025 watawakaribisha TP...
Replies
0
Views
177
Revoo
Back
Top Bottom