Sports

Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Aliyekuwa kocha wa Yanga Sc, Miguel Angel Gamondi anatarajia kutangazwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Raja Casablanca ya Morocco kuchukua nafasi ya kocha Ricardo Sa Pinto aliyefutwa kazi wiki iliyopita.
Replies
0
Views
93
Revoo
Yusuph Kagoma ni miongoni mwa viungo wachache wazawa wanaofanya vizuri sana kwenye Ligi kuu Tanzania Bara hasa kwenye hizi klabu kubwa. Kagoma amekuwa nguzo kubwa na imara kwa klabu ya Simba jambo...
Replies
0
Views
58
Revoo
➡️ROUND 15. (FIRST ROUND)✅ ⚽MOST GOALS 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 7 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇺🇬Desse Mukwala - 4 🇨🇩Fabrice Ngoma - 3 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua...
Replies
0
Views
75
Revoo
Simba anaendelea kusalia pale juu nafasi ya kwanza na alama 40 akishinda michezo 13 sale 1 na kupoteza 1 huku akifunga mabao 31 na kuruhusu mabao 5 pekee. Simba amekamilisha michezo yake yote ya...
Replies
0
Views
64
Revoo
Mchezo wa Dodoma Jiji kutoka Dodoma Dhidi ya Mashujaa Fc kutoka Kigoma umemalizika Kwa Dodoma Jiji kuibuka na Ushindi wa Goli 3 Dhidi ya Goli 1 la Mashujaa, Magoli ya Dodoma Jiji yalifungwa na...
Replies
0
Views
56
Revoo
Simba na 4-2-3-1 , waliamua kufanya mabadiliko kwenye eneo la kiungo (Kagoma na Ngoma) wakianza kama “Double Pivot” then Ahoua mbele yao huku Mpanzu na Kibu wakitokea pembeni …. Nini Simba...
Replies
0
Views
71
Revoo
Plan ya Fadlu Davids imeanzia kWa huyu mwamba “Jean Charles Ahoua” wakati timu inashambulia kuwa na uharaka wa kufanya maamuzi na pass sahihi kwenda mbele 👏 Ahoua akiwa na mali Kibu anakuwa wides...
Replies
0
Views
53
Revoo
Game bora kuishuudia…. High intensity 🔥 Simba wanaunda mashambulizi kwa uharaka sana kwa kutumia mawings wao (Mpanzu na Kibu) ambao wanakuwa wides sana : Simba wanaanza Build Up vizuri sana...
Replies
0
Views
51
Revoo
Hiki hapa Kikosi Cha Simbasc kinachoanza Dhidi ya Singida black star
Replies
0
Views
77
Revoo
Mechi ya leo kwa Simba ni moja kati ya mechi ngumu sana msimu huu,wanakutana na timu bora sana kiwanjan Nje ya uwanja wapinzani wanaamini kwa trend ya matokeo ya Simba hivi karibuni hii mechi...
Replies
0
Views
119
Revoo
Back
Top Bottom