simba sports club

Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
  1. Wachezaji Wazawa Tanzania Wanaweza Waaminiwe

    Wachezaji Wazawa Tanzania Wanaweza Waaminiwe

    Pichani ni Abdulrazak Hamza na Yusuph Kagoma wachezaji wa Simba Sc wenye utambulisho wa uraia wa Tanzania. Ni sajili za dirisha kubwa la usajili msimu wa 2024/25 pale Lunyasi. Naamini asilimia kubwa ya watanzania wakati wa sajili hizi waliamini/tuliamini ni wachezaji wa ziada kwenye timu...
  2. Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    Mzamiru Afunguka Kuelekea Mchezo Wa Kesho Jumapili 05 January 2025.

    KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo. “Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
  3. Simba Wabadirishiwa Uwanja CAFCC

    Simba Wabadirishiwa Uwanja CAFCC

    Mchezo wa CAF Confederation Cup kati ya CS Sfaxien dhidi ya Simba SC utachezwa katika Uwanja wa Olympique Rades unaopatikana Jijini Tunis BADALA YA uwanja wa nyumbani wa CS Sfaxien unaoitwa Taeib Mehir uliopo katika mji wa Sfax kilomita 267 kuelekea Tunis Sfaxien wanaenda kutumia uwanja wa Rades...
  4. Simba Safarini Kuwafuata Cs Sfaxien Tunisia

    Simba Safarini Kuwafuata Cs Sfaxien Tunisia

    Kikosi Cha Simba sports club kimesafiri Alfajiri ya leo Januari 1 2025 kuelekea Nchini Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien Mchezo ambao utachezwa tarehe 5 Mwezi wa kwanza Mwaka huu 2025. 𝐖𝐀𝐂𝐇𝐄𝐙𝐀𝐉𝐈 22 𝐖𝐀𝐋𝐈𝐎𝐒𝐀𝐅𝐈𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐓𝐔𝐍𝐈𝐒𝐈𝐀 𝐆𝐎𝐀𝐋𝐊𝐄𝐄𝐏𝐄𝐑𝐒 🇬🇳Moussa CAMARA 🇹🇿Ally SALIM...
  5. Ligi Ya Nbc Tanzania Kusimama Mpaka March.

    Ligi Ya Nbc Tanzania Kusimama Mpaka March.

    Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) imesimamisha ligi kuu Tanzania Bara kuanzia Disemba 29,2024 mpaka Machi 1,2025 kupisha michuano ya Mapinduzi Cup pamoja na Michuano ya CHAN itayoanza Mwezi january Mwaka Ujao. Baada ya Shirikisho la kandanda Nchini Tanzania (TFF) kutangaza kuanzia...
  6. Jean Charles Ahoua Wa Simba sports club

    Jean Charles Ahoua Wa Simba sports club

    Ahoua Charles ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao 5+ na kutoa assists 5+ katika NBC Premier League msimu huu. ◉ 14 - Games ◉ 07 - Goals ◉ 05 - Assists ◉ 12 - G/A Wachezaji wenye G/A nyingi zaidi katika Nbc Premier League 2024|25 hadi sasa . ◉ 13 — Feisal Salum 🇹🇿 ◉ 12 — Ahoua Charles 🇮🇪 ◉...
  7. Beki Simba sports club Afunga Ndoa

    Beki Simba sports club Afunga Ndoa

    Beki wa Klabu ya Simba sports club, Valentine Nouma hapo juzi aliaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu akiwa kwao Nchini Burkina Faso. Nouma alipata nafasi ya kusafiri kutoka Tanzania mpaka nchini Kwa Bukina Faso huku akiwa amepata baraka zote kutoka Kwa coach wake Fadlu...
  8. Wachezaji Simba sports club Wapewa Mapumziko.

    Wachezaji Simba sports club Wapewa Mapumziko.

    Kocha Fadlu Davids amewapa mapumziko ya siku mbili wachezaji wake ambapo ni leo na kesho Jumatatu Kikosi kitarejea mazoezini Jumanne asubuhi na jioni kitaanza safari kuelekea Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien utakaochezwa jumapili ya Januari 5 mwakani 2025 Simba watafika...
  9. Mousa PinPin Camara Goalkeeper Wa Simba sports club

    Mousa PinPin Camara Goalkeeper Wa Simba sports club

    Msimu uliopita Vumi Ley Matampi alitwaa Tuzo ya golikipa bora akiwa na Cleen sheet 15 kwenye mechi 24 za Nbc PL alizosimama langoni. Msimu huu 2024/2025 Moussa Pinpin Camara tayari ana cleen sheet 12 mzunguko wa kwanza tu... (mechi 15) Amebakiza Cleen sheet 3 kuifikia rekodi ya Matampi...
  10. Kwa Kagoma Simba sports club Wamepata Mtu

    Kwa Kagoma Simba sports club Wamepata Mtu

    Yusuph Kagoma ni miongoni mwa viungo wachache wazawa wanaofanya vizuri sana kwenye Ligi kuu Tanzania Bara hasa kwenye hizi klabu kubwa. Kagoma amekuwa nguzo kubwa na imara kwa klabu ya Simba jambo ambalo linampa urahisi zaidi kocha Fadlu wa kumtafuta pacha atakayecheza nae. Kumuweka benchi...
  11. Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Siku Ya Mchezo: Simbasc vs Jkt Tanzania Leo 24 December 2024, Nbc Premium league.

    Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC. Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
  12. Msimamo Wa Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025 Baada Ya Mchezo Wa Leo 22 December 2024

    Msimamo Wa Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025 Baada Ya Mchezo Wa Leo 22 December 2024

    Huu hapa msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara (Nbc Premium league 2024/2025)
  13. Magazeti Ya Michezo Leo Jumapili 22 December 2024

    Magazeti Ya Michezo Leo Jumapili 22 December 2024

    Haya Hapa Magazeti Ya Mchezo ya Tanzania Leo Jumapili 22 December 2024
  14. Mchezo Umetamatika: Kagera Sugar 2 vs 5 Simbasc

    Mchezo Umetamatika: Kagera Sugar 2 vs 5 Simbasc

    🚨𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 🏆#NBCPremierLeague Kagera Sugar 2-5 Simba Sports Club ⚽Kapombe ⚽Ahoua ⚽Ngoma ⚽Mukwala ⚽Mukwala Leo ilikua mechi ya kwanza Kwa Elie Mpanzu kuitumikia Simba Hakika Anajua wanasimba wenyewe wameona.... Touch turn and shoot,touch turn and shoot yes! Ni style mpya mjini ambayo imeletwa...
  15. Kikosi Cha Simba sports club vs Kagera Sugar Leo 21 December 2024

    Kikosi Cha Simba sports club vs Kagera Sugar Leo 21 December 2024

    Kikosi cha Simba SC dhidi ya Kagera Sugar Moussa CAMARA (GK) Shomari KAPOMBE Mohammed HUSSEIN (C) Chamou KARABOU Abdulrazak HAMZA Fabrice NGOMA Awesu AWESU Debora MAVAMBO Desse MUKWALA Jean AHOUA Elie MPANZU
  16. Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

    Simba sports club safarini Leo Tarehe 19 December 2024 Kuwakabili Kagera Sugar.

    Kikosi cha Simba sports club kinaondoka leo saa tano asubuhi kuelekea Bukoba, Kagera kwa ajili ya mchezo dhidi ya Kagera Sugar, utakaopigwa jumamosi ya Desemba 2, 2024. Baada ya mechi jana wachezaji waliruhusiwa kurudi nyumbani kwao kwaajili ya mapumziko na Sasa wamewasili kambini tayari Kwa...
  17. Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    Takwimu Za Simba sports club Hadi Leo Tarehe 18 December Kwenye Ligi Kuu Nbc Tanzania 2024/2025.

    SIMBA SPORTS CLUB KATIKA LIGI KUU MPAKA SASA ➡️ROUND 12.✅ ⚽ WAFUNGAJI BORA 🇨🇲Leonel Ateba - 5 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 5 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇺🇬Desse Mukwala - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua - 2 🇨🇩Fabrice Ngoma - 1 🇨🇬Debora Fernandez - 1 🇹🇿Shomari Kapombe - 1 🇹🇿Mohammed...
  18. Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Uchambuzi, Mechi Ya Simba vs Ken Gold Leo Tarehe 18 December 2024

    Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana . Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...
  19. Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Mchezo Umetamatika: Simba 2 vs 0 Ken Gold

    Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza. Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania. Mfungaji Leonel Ateba nae...
  20. Mabadiliko Ya Ratiba Za Simba NBC

    Mabadiliko Ya Ratiba Za Simba NBC

    Mchezo namba 125 wa ligi kuu ya NBC kati ya Tabora United dhidi ya Simba SC uliokuwa uchezwe December 28 umeondolewa kwenye ratiba na utapangiwa tarehe nyingine sababu kubwa ya mchezo huo kuondolewa kwenye ratiba Simba kuanza mzunguko wa pili huku ikiwa na mchezo wa raundi ya kwanza haujachezwa...
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
Back
Top Bottom