Pichani ni Abdulrazak Hamza na Yusuph Kagoma wachezaji wa Simba Sc wenye utambulisho wa uraia wa Tanzania.
Ni sajili za dirisha kubwa la usajili msimu wa 2024/25 pale Lunyasi.
Naamini asilimia kubwa ya watanzania wakati wa sajili hizi waliamini/tuliamini ni wachezaji wa ziada kwenye timu...
KIUNGO wa Simba Mzamiru Yassin amesema mechi yao ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya Sfaxien ya Tunisia haitakuwa nyepesi wanahitaji jitihada, umakini na nguvu kuhakikisha wanapata matokeo.
“Mechi za ugenini huwa ni ngumu haijalishi umecheza na timu gani tunatakiwa tuwe makini, mtu...
Mchezo wa CAF Confederation Cup kati ya CS Sfaxien dhidi ya Simba SC utachezwa katika Uwanja wa Olympique Rades unaopatikana Jijini Tunis BADALA YA uwanja wa nyumbani wa CS Sfaxien unaoitwa Taeib Mehir uliopo katika mji wa Sfax kilomita 267 kuelekea Tunis
Sfaxien wanaenda kutumia uwanja wa Rades...
Kikosi Cha Simba sports club kimesafiri Alfajiri ya leo Januari 1 2025 kuelekea Nchini Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien
Mchezo ambao utachezwa tarehe 5 Mwezi wa kwanza Mwaka huu 2025.
𝐖𝐀𝐂𝐇𝐄𝐙𝐀𝐉𝐈 22 𝐖𝐀𝐋𝐈𝐎𝐒𝐀𝐅𝐈𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐓𝐔𝐍𝐈𝐒𝐈𝐀
𝐆𝐎𝐀𝐋𝐊𝐄𝐄𝐏𝐄𝐑𝐒
🇬🇳Moussa CAMARA
🇹🇿Ally SALIM...
Shirikisho la Mpira wa miguu nchini (TFF) imesimamisha ligi kuu Tanzania Bara kuanzia Disemba 29,2024 mpaka Machi 1,2025 kupisha michuano ya Mapinduzi Cup pamoja na Michuano ya CHAN itayoanza Mwezi january Mwaka Ujao.
Baada ya Shirikisho la kandanda Nchini Tanzania (TFF) kutangaza kuanzia...
Ahoua Charles ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao 5+ na kutoa assists 5+ katika NBC Premier League msimu huu.
◉ 14 - Games
◉ 07 - Goals
◉ 05 - Assists
◉ 12 - G/A
Wachezaji wenye G/A nyingi zaidi katika Nbc Premier League 2024|25 hadi sasa .
◉ 13 — Feisal Salum 🇹🇿
◉ 12 — Ahoua Charles 🇮🇪
◉...
Beki wa Klabu ya Simba sports club, Valentine Nouma hapo juzi aliaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa mda mrefu akiwa kwao Nchini Burkina Faso.
Nouma alipata nafasi ya kusafiri kutoka Tanzania mpaka nchini Kwa Bukina Faso huku akiwa amepata baraka zote kutoka Kwa coach wake Fadlu...
Kocha Fadlu Davids amewapa mapumziko ya siku mbili wachezaji wake ambapo ni leo na kesho Jumatatu
Kikosi kitarejea mazoezini Jumanne asubuhi na jioni kitaanza safari kuelekea Tunisia kwaajili ya mchezo wa CAFCC dhidi ya CS Sfaxien utakaochezwa jumapili ya Januari 5 mwakani 2025
Simba watafika...
Msimu uliopita Vumi Ley Matampi alitwaa Tuzo ya golikipa bora akiwa na Cleen sheet 15 kwenye mechi 24 za Nbc PL alizosimama langoni.
Msimu huu 2024/2025 Moussa Pinpin Camara tayari ana cleen sheet 12 mzunguko wa kwanza tu... (mechi 15)
Amebakiza Cleen sheet 3 kuifikia rekodi ya Matampi...
Yusuph Kagoma ni miongoni mwa viungo wachache wazawa wanaofanya vizuri sana kwenye Ligi kuu Tanzania Bara hasa kwenye hizi klabu kubwa.
Kagoma amekuwa nguzo kubwa na imara kwa klabu ya Simba jambo ambalo linampa urahisi zaidi kocha Fadlu wa kumtafuta pacha atakayecheza nae.
Kumuweka benchi...
Leo saa 10 jioni kikosi Cha Simba sports club kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Tanzania katika muendeleo wa Ligi Kuu ya NBC.
Hapana shaka mchezo wa leo utakuwa mgumu kutokana na JKT kuundwa na nyota wengi wazoefu ambao walicheza kwenye kikosi cha Simba sports club kwa nyakati...
🚨𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 🏆#NBCPremierLeague
Kagera Sugar 2-5 Simba Sports Club
⚽Kapombe
⚽Ahoua
⚽Ngoma
⚽Mukwala
⚽Mukwala
Leo ilikua mechi ya kwanza Kwa Elie Mpanzu kuitumikia Simba Hakika Anajua wanasimba wenyewe wameona....
Touch turn and shoot,touch turn and shoot yes! Ni style mpya mjini ambayo imeletwa...
Kikosi cha Simba SC dhidi ya Kagera Sugar
Moussa CAMARA (GK)
Shomari KAPOMBE
Mohammed HUSSEIN (C)
Chamou KARABOU
Abdulrazak HAMZA
Fabrice NGOMA
Awesu AWESU
Debora MAVAMBO
Desse MUKWALA
Jean AHOUA
Elie MPANZU
Kikosi cha Simba sports club kinaondoka leo saa tano asubuhi kuelekea Bukoba, Kagera kwa ajili ya mchezo dhidi ya Kagera Sugar, utakaopigwa jumamosi ya Desemba 2, 2024.
Baada ya mechi jana wachezaji waliruhusiwa kurudi nyumbani kwao kwaajili ya mapumziko na Sasa wamewasili kambini tayari Kwa...
Simba walimaliza game kipindi cha kwanza , walikuwa bora kwenye kila eneo (Wakiwa na mpira na wasipokuwa na mpira ….. Nafikiri ni wao tu kuwa na utulivu eneo la mwisho walitengeneza nafasi nyingi sana .
Kipindi cha pili , Fadlu Davids aliamua kuifunga game (Fabrice & Mzamiru Out then Kagoma na...
ligi kuu tanzania
matokeo ya mechi ya simba sc vs ken gold
msimamo wa ligi kuu nbc tanzania
revo sportssimba sc vs ken gold
simbasportsclub
wananchiforum
Simba wameifunga Ken Gold katika Ligi kuu ya Nbc Tanzania Magoli mawili "2" Kwa sufuri, Magoli yote yakifunga na Mchezaji Wao hatari Leonel Ateba katika dakika ya 41 na 44 kipindi Cha Kwanza.
Simba Sasa anafikisha alama 31 katika michezo 12 ya Ligi kuu Nbc Tanzania.
Mfungaji Leonel Ateba nae...
Mchezo namba 125 wa ligi kuu ya NBC kati ya Tabora United dhidi ya Simba SC uliokuwa uchezwe December 28 umeondolewa kwenye ratiba na utapangiwa tarehe nyingine sababu kubwa ya mchezo huo kuondolewa kwenye ratiba Simba kuanza mzunguko wa pili huku ikiwa na mchezo wa raundi ya kwanza haujachezwa...