Niliweka cheti kimakosà ajira portal nashindwa kukifuta na kufanya maombi ya kazi

Niliweka cheti kimakosà ajira portal nashindwa kukifuta na kufanya maombi ya kazi

Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

franky

New member

Reputation: 1%
Joined
Oct 21, 2024
Messages
1
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu.
Làkiñi pia kwenye education background nilikosea kwa kuweka coz ambayo sio yangu,kwahiyo pale panaonyeshaa ninà shàhada mbili nà moja wapo sijasomea niliweka kinamkosa.
 
  • Like
Reactions: Sia
Nili upload kinakosa cheti cha chuo àmbapo kimoja niliweka chenye kuhuri wa mwanasheria na kingine ambacho nimekosea hakina muhuri wa mwanasheria,sasa nimejaribu kufutaa nimeshindwa kwà mda mrefu.
Làkiñi pia kwenye education background nilikosea kwa kuweka coz ambayo sio yangu,kwahiyo pale panaonyeshaa ninà shàhada mbili nà moja wapo sijasomea niliweka kinamkosa.
Huwezi kuedit au kufuta.
1. Nenda katika ofisi za utumishi (ajira portal) zilizopo Dar es Salaam - posta, Dodoma ziko Asha rose miguro na Zanzibar.
 
Similar content Most view View more
Back
Top Bottom