Ajira
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa na Makampuni Mbali mbali kutoka Tanzania, Sector Binafsi na Ajira za Serikalini.
NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 SHULE ZOTE BONYEZA HAPA
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.
Hii hapa orodha ya Majina wa Walioitwa kwenye Mafunzo SIHA Ajira za INEC 2024. Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Siha anawatangazia wale waliofaulu kwenye usaili wa nafasi za Uandikishaji Wasaidizi...
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Semina Ajira za INEC 2024. Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Moshi Vijijini na Jimbo la Vunjo anawatangazia wale wote waliofaulu usaili wa waandikishaji...
Hizi hapa nafasi za kazi kutoka Nafasi za kazi Frostan Tanzania December 2024 kwa niaba ya nyam nyam zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye sifa, waweze kutuma maombi kuanzia siku ya leo mpaka...
Hizi hapa nafasi za Nafasi za Restaurant Cashier Selena Hoteli December 2024. Huduma za Kukuza Utalii (Tourism Promotion Services - TPS), inayomiliki Serena Hotels, ni mkusanyiko wa hoteli za...
Hizi hapa Nafasi za Sales Agent Airtel Dodoma Decemba 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari na sifa zote waweze kutuma maombi yao ya ajira kulingana na muda uliowekwa kwenye...
HAYA HAPA MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI (MoCU) ULIOFANYIKA TAREHE 03/12/2024 KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
hizi hapa Ajira za Walimu Al Muntazir Islamic International Schools December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote wenye nia, ari, na sifa waweze kutuma maombi yao kuanzia siku ya leo.
Huduma za Kukuza Utalii (Tourism Promotion Services - TPS), inayomiliki Serena Hotels, ni mkusanyiko wa hoteli za kifahari, lodges za safari, kambi, na resorts 22 katika nchi 7 za ukanda wa Afrika...
Hii hapa Orodha ya Majina ya Walioitwa kwenye Usaili IAE, MNMA December 2024 PDF. Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), Chuo...
Hizi hapa Nafasi za kazi Chimi December 2024 zilizo tangazwa kwa watanzania wote nia, ari na sifa kulingana na vigezo vilivyowekwa katika tangazo hili hapa chini.