Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Bot washarudisha majibu ya kuitwa kwenye interviews
Answers
1
Views
15
Hellw, nilikua naomba nipate Ile link ya internship ya kampuni ya Crude oil iliyotangazwa majuzi maana Whatsapp yangu ilipata shida nikaikosa hiyo link
Answers
0
Views
23
Cadet eng Aisha
Habari, samahani naomba msaada wa maswali ya written interview kada ya community development officer
Answers
0
Views
26
Yusterbaton
Habari wananchi forum, mwenye material ya cooperate (ushirika) naomba tushare please... natanguliza shukran
Answers
1
Views
2K
Kak me nasoma chuo Cha mipango ya maendeleo vijijin Dodoma nasoma koz ya development administration and management je Niki graduate naweza nikaajiliwa serikalin kam nan au NGOs
Answers
0
Views
33
Naomba kuliza nimeomba NAOT BADO HAWAJATOA MAJINA YA WRITTEN INTERVIEW
Answers
1
Views
52
Habari , sorry mkuu veta unaweza kusoma baadhi ya kozi za ufundi kama uliishia darasa la saba au hauna cheti kabsaaHabari bro, sorry mkuu veta unaweza
Answers
1
Views
38
habari creed naomba kuuliza kunawatu walifanya interview ya uhamiaji je matokeo yalishatoka?
Answers
1
Views
40
Habari, nimechaguliwa online interview community development officer grade ii lakini mpaka sasa sijapata location ya hiyo interview na tarehe ni 11
Answers
2
Views
87
Msaada naombeni mnijuze kidogo unapoambiwa utume cover letter kwenye email na hawajakupa details za adress kwenye hilo tangazo huwa inakuwaje
Answers
2
Views
64
SHEHOZA
Back
Top Bottom