Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Hatua za Kuuliza swali. Anza na Title ya swali kisha Chini yake weka maelezo kuhusu swali lako.
NB: HATUJIHUSISHI NA VITU VINGINE ISIPOKUWA AJIRA.
Bonyeza hapo kujiunga nasi kupata matangazo mbalimbali ya kazi, Maswali ya Usaili.

Maswali ya usaili msaidizi wa ofisi tume ya utumishi wa mahakama Tanzania
Answers
0
Views
34
fridolin
kwanza kabisa nauliza hiyo shule ya taifa open school maana nataka niresit lakini nina majukumu nimemaliza form4 nimepata division 4 ya 28.
Answers
0
Views
100
Jackson Paul Maziku
Habari naomba kupata maswali ya usaili ya brac kwenye position ya branch accountant
Answers
2
Views
463
Monica1
Habari samahani nina shida ya maswali ya usaili ya direct sales staff at DCB Bank
Answers
0
Views
122
Naomba kuuliza. Je kuna majina yoyote yanetoka ( list mpya ya mafunzo ya mwezi wa sita 18- 24
Answers
0
Views
88
jeremia
Naomba pdf ya walioitwa interview ya afisa maendeleo ya jamii
Answers
0
Views
13
Lydia1234
Nimepata changamoto ya kukamilisha usajili wa profile yangu ambapo nimefika mahali ya kumaliza naweka district blbut wananiambia district is required nifanye nini 0675894971
Answers
1
Views
94
Mushi
Nahitajia msaada wa maswali katika usahili wa nafasi ya HRO
Answers
0
Views
193
Hotti Ramadhan
my name is nasma kaluona the aims of this application is job and employed
Answers
0
Views
12
nasma kaluona
Msaada Jaman mwenye maswali wanauliza trade officer II
Answers
5
Views
1K
MUSASURA1
Back
Top Bottom