Msaada

Uliza swali lolote na litajibiwa na wananchi hapa.
Haya hapa Matokeo ya Kidato cha Sita TUNDURU SECONDARY SCHOOL 2026-S0404 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Katika Mtihani wa Form six (ACSEE) 2026/2027 jumla ya wanafunzi wengi wamefaulu.
Bonyeza hapo juu kujiunge na Group la wanachuo waliomaliza kidato cha sita 2026 hapa baada ya matokeo ya form six 2026

Sorry na pole na kazi, kila iunga na whatsapp group la environmental officers naambiwa nisubir admin aruhusu ombi langu likini sioni majibu naomba msaada.
Answers
0
Views
93
majilio
Hlw naombeni nisaidie wapi napata maswali ya investigation officer
Answers
0
Views
99
Mimi ni undergraduate wa course ya international relation and foreign affairs CFR nauliza hii kozi ajira zake ni kama zipi na upatikanaji wake upoje ndugu?
Answers
0
Views
24
Nyakatakule
Naombeni maswali yasocial welfare officer wenye mitiani tarehe17 jumapili ijayo
Answers
0
Views
27
Kareen
Msaada maswali ya usaili wa kuandika TANAPA (Accounts)
Answers
0
Views
419
Eric kb
habari mimi ni mgeni kidog kwenye mambo ya kuapply kazi Sasa Kuna tangazo moja la intern kwenye kampuni ya logistics Sasa mimi nilifanya application kwa kuchelewa dk 10 maana walisema "We...
Answers
3
Views
178
Habari, ninaombeni mwenye matokeo ya usaili wa kuandika kwa kada ya ualimu wa daraja la latu C somo la Kiswahili anitumie, kwa WhatsApp number 0753266273
Answers
1
Views
139
Naitaj nafasi ya kazi ya uwamiaji kwasbu naitaj
Answers
1
Views
194
Habari yako kaka, pole na majukumu ya kazi samahani nlikuwa naomba unisaidie kuuliza kwenye group kuna aliefaulu oral interview ya brac maendeleo iliyofanyika mwezi wa tatu Mkoa wa Arusha na...
Answers
1
Views
116
Mkuu samahan, kwenye kujaza education detail form TAKUKURU, chin kuna sehem ya attachment sasa swali langu hapo ninaatachi degree certificate au transcript naomba kueleweshwa
Answers
1
Views
121
Back
Top Bottom